iqna

IQNA

umoja wa falme za Kiarabu
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Wauguzi kadhaa wasio Waislamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanafunga kula na kunywa wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa vile wanataka kuonyesha mshikamano na wenzao Waislamu katika mwezi huu.
Habari ID: 3476785    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30

TEHRAN (IQNA) - Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina zimelaani vikali hatua ya Morocco kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473444    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/11

TEHRAN (IQNA) – Mwanaanga wa kwanza wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kufika katika anga za mbali amesema atabeba nakala ya Qur'ani katika safari yake hiyo ya kihistoria.
Habari ID: 3472104    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/28

TEHRAN (IQNA) - Watawala wa Saudi Arabia wamekasirishwa na kitendo cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) cha kuwaondosha nchini Yemen idadi kubwa ya wanajeshi wake.
Habari ID: 3472040    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/12